Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 22:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Mungu wa kweli, njia yake ni kamilifu;+

      Neno la Yehova limetakaswa.+

      Yeye ni ngao kwa wale wote wanaomkimbilia.+

  • Zaburi 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Maneno ya Yehova ni maneno safi,+

      Kama fedha iliyosafishwa katika tanuru ya kuyeyushia kwenye udongo, iliyosafishwa mara saba.

  • Zaburi 18:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Mungu wa kweli, njia yake ni kamilifu;+

      Neno la Yehova limetakaswa.+

      Yeye ni ngao kwa wale wote wanaomkimbilia.+

  • Zaburi 119:140
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 140 Neno lako ni safi sana,+

      Na mtumishi wako analipenda.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki