2 Samweli 22:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Mungu wa kweli, njia yake ni kamilifu;+Neno la Yehova limetakaswa.+Yeye ni ngao kwa wale wote wanaomkimbilia.+ Zaburi 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Maneno ya Yehova ni maneno safi,+Kama fedha iliyosafishwa katika tanuru ya kuyeyushia kwenye udongo, iliyosafishwa mara saba. Zaburi 18:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Mungu wa kweli, njia yake ni kamilifu;+Neno la Yehova limetakaswa.+Yeye ni ngao kwa wale wote wanaomkimbilia.+ Zaburi 119:140 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 140 Neno lako ni safi sana,+Na mtumishi wako analipenda.+
31 Mungu wa kweli, njia yake ni kamilifu;+Neno la Yehova limetakaswa.+Yeye ni ngao kwa wale wote wanaomkimbilia.+
6 Maneno ya Yehova ni maneno safi,+Kama fedha iliyosafishwa katika tanuru ya kuyeyushia kwenye udongo, iliyosafishwa mara saba.
30 Mungu wa kweli, njia yake ni kamilifu;+Neno la Yehova limetakaswa.+Yeye ni ngao kwa wale wote wanaomkimbilia.+