3 Ndipo akaniambia: “Hii ndiyo laana inayotoka kwenda juu ya uso wa dunia yote,+ kwa sababu kila mtu anayeiba,+ kulingana na hiyo, upande huu, hakupewa adhabu; na kila mtu anayefanya kiapo rasmi,+ kulingana na hiyo, upande ule mwingine,+ hakupewa adhabu.