Zekaria 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kisha akaniambia: “Hii ndiyo laana inayotoka kwenda juu ya dunia yote, kwa sababu kila mtu anayeiba,+ kama ilivyoandikwa upande mmoja, hajaadhibiwa; na kila mtu anayeapa kwa uwongo,+ kama ilivyoandikwa upande wa pili, hajaadhibiwa. Zekaria Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 5:3 Mnara wa Mlinzi (Funzo),10/2017, uku. 22
3 Kisha akaniambia: “Hii ndiyo laana inayotoka kwenda juu ya dunia yote, kwa sababu kila mtu anayeiba,+ kama ilivyoandikwa upande mmoja, hajaadhibiwa; na kila mtu anayeapa kwa uwongo,+ kama ilivyoandikwa upande wa pili, hajaadhibiwa.