Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 18:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Alimtegemea Yehova Mungu wa Israeli;+ na baada yake hapakuwa na yeyote kama yeye kati ya wafalme wote wa Yuda,+ hata wale waliomtangulia.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 29:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova,+ kulingana na yote ambayo Daudi babu yake alikuwa amefanya.+

  • Zaburi 89:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana ngao yetu ni ya Yehova,+

      Na mfalme wetu ni wa Mtakatifu wa Israeli.+

  • Hosea 4:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ijapokuwa unafanya uasherati, Ee Israeli,+ Yuda asiwe na hatia,+ nanyi msije Gilgali,+ wala msiende Beth-aveni+ wala kuapa ‘Kama anavyoishi Yehova!’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki