2 Wafalme 19:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Umemdhihaki+ nani na kusema vibaya+ juuyake?Nawe umepaaza sauti+yako juu ya naniNa kuinua macho+ yako juu?Ni juu ya Mtakatifu wa Israeli!+ Zaburi 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na kusema: “Mimi, naam, mimi nimemweka mfalme wangu+Juu ya Sayuni,+ mlima wangu mtakatifu.”+
22 Umemdhihaki+ nani na kusema vibaya+ juuyake?Nawe umepaaza sauti+yako juu ya naniNa kuinua macho+ yako juu?Ni juu ya Mtakatifu wa Israeli!+