Methali 30:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kuna kizazi cha watu ambao macho yao yamekwezwa kama nini! na ambao macho yao yenye kung’aa yameinuliwa.+ Isaya 37:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Umemdhihaki+ nani na kusema vibaya+ juu yake?Nawe umepaaza sauti+ yako juu ya naniNa kuinua macho+ yako juu?Ni juu ya Mtakatifu wa Israeli!+
13 Kuna kizazi cha watu ambao macho yao yamekwezwa kama nini! na ambao macho yao yenye kung’aa yameinuliwa.+
23 Umemdhihaki+ nani na kusema vibaya+ juu yake?Nawe umepaaza sauti+ yako juu ya naniNa kuinua macho+ yako juu?Ni juu ya Mtakatifu wa Israeli!+