Isaya 31:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Rudini+ kwake Yeye ambaye wana wa Israeli wamemwasi kabisa.+ Yeremia 17:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ee Yehova, tumaini la Israeli,+ wale wote wanaokuacha watapatwa na aibu.+ Wale wanaoniasi+ wataandikwa katika mavumbi, kwa sababu wameiacha chemchemi ya maji yaliyo hai, Yehova.+ Waebrania 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Jihadharini, akina ndugu, ili moyo mwovu unaokosa imani usije ukasitawi ndani ya yeyote kati yenu kwa kujiondoa kwa Mungu aliye hai;+
13 Ee Yehova, tumaini la Israeli,+ wale wote wanaokuacha watapatwa na aibu.+ Wale wanaoniasi+ wataandikwa katika mavumbi, kwa sababu wameiacha chemchemi ya maji yaliyo hai, Yehova.+
12 Jihadharini, akina ndugu, ili moyo mwovu unaokosa imani usije ukasitawi ndani ya yeyote kati yenu kwa kujiondoa kwa Mungu aliye hai;+