Mambo ya Walawi 18:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “‘Uchi wa binti-mkwe+ wako usiufunue. Yeye ni mke wa mwana wako. Usiufunue uchi wake. Mambo ya Walawi 20:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na mwanamume akilala na binti-mkwe wake, lazima wote wawili wauawe.+ Wamevunja jambo la asili. Damu yao wenyewe iko juu yao.+ Ezekieli 18:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 (lakini yeye mwenyewe hajafanya lolote la mambo hayo); ikiwa yeye pia amekula juu ya milima,+ naye amemnajisi mke wa mwenzake;+
12 Na mwanamume akilala na binti-mkwe wake, lazima wote wawili wauawe.+ Wamevunja jambo la asili. Damu yao wenyewe iko juu yao.+
11 (lakini yeye mwenyewe hajafanya lolote la mambo hayo); ikiwa yeye pia amekula juu ya milima,+ naye amemnajisi mke wa mwenzake;+