Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 20:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “‘Na mwanamume akimchukua dada yake, binti ya baba yake au binti ya mama yake, naye auone uchi wake, naye dada yake auone uchi wake, ni aibu.+ Kwa hiyo watakatiliwa mbali kutoka machoni pa wana wa watu wao. Ni uchi wa dada yake ambao ameufunua. Atajibu kwa kosa lake.

  • Kumbukumbu la Torati 27:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “‘Amelaaniwa yule ambaye hulala na dada yake, binti ya baba yake au binti ya mama yake.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)

  • 2 Samweli 13:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na ikawa baada ya mambo hayo kwamba Absalomu+ mwana wa Daudi alikuwa na dada mwenye sura nzuri ambaye jina lake lilikuwa Tamari,+ na Amnoni+ mwana wa Daudi akampenda.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki