Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 18:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “‘Nao uchi wa dada yako, binti ya baba yako au binti ya mama yako, awe amezaliwa katika nyumba hiyo hiyo au amezaliwa nje, usiufunue uchi wao.+

  • Kumbukumbu la Torati 27:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “‘Amelaaniwa yule ambaye hulala na dada yake, binti ya baba yake au binti ya mama yake.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)

  • 2 Samweli 13:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Hata hivyo, yeye akamwambia: “Hapana, ndugu yangu! Usinifedheheshe;+ kwa maana si kawaida kufanya hivi katika Israeli.+ Usifanye upumbavu huu wenye kufedhehesha.+

  • Ezekieli 22:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na mwanamume amefanya chukizo pamoja na mke wa mwenzake, na mwanamume amemnajisi+ binti-mkwe wake mwenyewe kwa mwenendo mpotovu;+ na ndani yako mwanamume amemfedhehesha dada yake, binti ya baba yake mwenyewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki