Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 18:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “‘Nao uchi wa dada yako, binti ya baba yako au binti ya mama yako, awe amezaliwa katika nyumba hiyo hiyo au amezaliwa nje, usiufunue uchi wao.+

  • Mambo ya Walawi 20:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “‘Na mwanamume akimchukua dada yake, binti ya baba yake au binti ya mama yake, naye auone uchi wake, naye dada yake auone uchi wake, ni aibu.+ Kwa hiyo watakatiliwa mbali kutoka machoni pa wana wa watu wao. Ni uchi wa dada yake ambao ameufunua. Atajibu kwa kosa lake.

  • 2 Samweli 13:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye hakukubali kuisikiliza sauti yake, bali akatumia nguvu kubwa kuliko zake, akamfedhehesha+ na kulala naye.+

  • Ezekieli 22:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na mwanamume amefanya chukizo pamoja na mke wa mwenzake, na mwanamume amemnajisi+ binti-mkwe wake mwenyewe kwa mwenendo mpotovu;+ na ndani yako mwanamume amemfedhehesha dada yake, binti ya baba yake mwenyewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki