28 Kwa sababu nchi hiyo itaomboleza,+ na mbingu juu hakika zitakuwa na giza.+ Ni kwa sababu nimesema, nimefikiria, wala sikujuta, wala sitarudi nyuma kutoka katika jambo hilo.+
29 “Mara baada ya ile dhiki ya siku hizo jua litatiwa giza,+ nao mwezi+ hautatoa nuru yake, nazo nyota zitaanguka kutoka mbinguni, nazo nguvu za mbingu zitatikiswa.+
25 “Pia, kutakuwa na ishara katika jua+ na mwezi na nyota, na juu ya dunia maumivu makali ya mataifa, bila kujua njia ya kutokea kwa sababu ya kunguruma kwa bahari+ na msukosuko+ wake,
2 Naye akalifungua shimo la abiso, na moshi+ ukapanda kutoka katika shimo lile kama moshi wa tanuru kubwa,+ na jua likatiwa giza,+ pia hewa, kwa moshi wa shimo lile.