Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 4:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kwa sababu nchi hiyo itaomboleza,+ na mbingu juu hakika zitakuwa na giza.+ Ni kwa sababu nimesema, nimefikiria, wala sikujuta, wala sitarudi nyuma kutoka katika jambo hilo.+

  • Yoeli 2:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Jua litageuzwa kuwa giza,+ na mwezi kuwa damu,+ kabla ya kuja kwa ile siku ya Yehova iliyo kuu na yenye kuogopesha.+

  • Mathayo 24:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Mara baada ya ile dhiki ya siku hizo jua litatiwa giza,+ nao mwezi+ hautatoa nuru yake, nazo nyota zitaanguka kutoka mbinguni, nazo nguvu za mbingu zitatikiswa.+

  • Luka 21:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Pia, kutakuwa na ishara katika jua+ na mwezi na nyota, na juu ya dunia maumivu makali ya mataifa, bila kujua njia ya kutokea kwa sababu ya kunguruma kwa bahari+ na msukosuko+ wake,

  • Matendo 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 jua+ litageuzwa kuwa giza na mwezi kuwa damu kabla ya kufika kwa ile siku ya Yehova iliyo kuu na yenye fahari.+

  • Ufunuo 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye akalifungua shimo la abiso, na moshi+ ukapanda kutoka katika shimo lile kama moshi wa tanuru kubwa,+ na jua likatiwa giza,+ pia hewa, kwa moshi wa shimo lile.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki