Kutoka 10:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kisha Yehova akamwambia Musa: “Unyooshe mkono wako kuelekea mbinguni,+ ili giza lipate kutokea juu ya nchi ya Misri nalo giza liweze kuguswa.” Zaburi 18:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kisha akalifanya giza kuwa mahali pake pa kujificha,+Kama kibanda cha kumzunguka pande zote, Maji yenye giza, mawingu mazito.+ Mathayo 27:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Tangu saa sita na kuendelea kukawa na giza+ juu ya nchi yote, mpaka saa tisa.+
21 Kisha Yehova akamwambia Musa: “Unyooshe mkono wako kuelekea mbinguni,+ ili giza lipate kutokea juu ya nchi ya Misri nalo giza liweze kuguswa.”
11 Kisha akalifanya giza kuwa mahali pake pa kujificha,+Kama kibanda cha kumzunguka pande zote, Maji yenye giza, mawingu mazito.+