Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Maombolezo 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Naye hukitendea jeuri kibanda+ chake kama kile kilicho katika bustani.+ Ameiharibu sherehe yake.

      Yehova amefanya sherehe+ na sabato kusahauliwa katika Sayuni,

      Naye katika shutuma zake za hasira haheshimu mfalme wala kuhani.+

  • Hosea 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nami hakika nitakomesha furaha+ yake yote, sherehe+ yake, mwezi wake mpya+ na sabato yake na majira yake yote ya sherehe.

  • Amosi 8:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nami nitazigeuza sherehe zenu ziwe maombolezo+ na nyimbo zenu zote ziwe nyimbo za huzuni. Nitatia nguo za magunia juu ya viuno vyote na juu ya kila kichwa nitatia upara.+ Nami nitafanya hali iwe kama kuombolezea mwana wa pekee,+ na matokeo yake ya mwisho kama siku yenye uchungu.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki