Zaburi 80:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa nini umebomoa kuta zake za mawe,+Na kwa nini wale wote wanaopita barabarani wameuchuma?+ Zaburi 89:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Umevunja mazizi yake yote ya mawe;+Umefanya ngome zake kuwa mabomoko.+ Isaya 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na binti Sayuni+ ameachwa akiwa amebaki kama kibanda katika shamba la mizabibu, kama kijumba cha mlinzi ndani ya shamba la matango, kama jiji lililozingirwa.+
8 Na binti Sayuni+ ameachwa akiwa amebaki kama kibanda katika shamba la mizabibu, kama kijumba cha mlinzi ndani ya shamba la matango, kama jiji lililozingirwa.+