Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 18:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa hiyo Hezekia mfalme wa Yuda akatuma ujumbe kwa mfalme wa Ashuru kule Lakishi, na kusema: “Nimetenda dhambi. Rudi nyuma, utoke juu yangu. Lolote utakalonitwika, nitalichukua.”+ Basi mfalme wa Ashuru akaweka juu ya Hezekia mfalme wa Yuda talanta+ 300 za fedha na talanta 30 za dhahabu.

  • Isaya 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye akalilima na kuliondoa mawe na kulipanda mzabibu bora mwekundu, na kujenga mnara katikati yake.+ Na pia kulikuwa na shinikizo la divai ambalo alichimba ndani yake.+ Naye akaendelea kulitumaini lizae zabibu,+ lakini mwishowe likazaa zabibu-mwitu.+

  • Isaya 8:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 na kusonga mbele kupitia Yuda. Kwa kweli yeye atafurika na kuvuka.+ Atafika mpaka shingoni.+ Na kunyooshwa kwa mabawa+ yake kutatokea ili kuujaza upana wa nchi yako, Ee Imanueli!”+

  • Yeremia 4:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Wamekuwa kama walinzi wa shamba juu yake pande zote,+ kwa sababu ameniasi hata mimi,”+ asema Yehova.

  • Luka 19:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Kwa sababu siku zitakuja juu yako wakati adui zako watakapojenga kukuzunguka ngome+ yenye miti iliyochongoka+ nao watakuzunguka+ na kukutaabisha+ kutoka kila upande,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki