Mathayo 21:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Sikilizeni mfano mwingine: Kulikuwa na mtu, mwenye nyumba,+ aliyepanda shamba la mizabibu, akaweka ua kulizunguka, akachimba shinikizo la divai ndani yake, akasimamisha mnara,+ akalikodisha kwa wakulima, kisha akasafiri kwenda ng’ambo.+
33 “Sikilizeni mfano mwingine: Kulikuwa na mtu, mwenye nyumba,+ aliyepanda shamba la mizabibu, akaweka ua kulizunguka, akachimba shinikizo la divai ndani yake, akasimamisha mnara,+ akalikodisha kwa wakulima, kisha akasafiri kwenda ng’ambo.+