Marko 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Pia, akaanza kusema nao kwa kutumia mifano: “Mtu alipanda shamba la mizabibu,+ akaweka ua kulizunguka, akachimba shimo la mtungi wa shinikizo la divai, akasimamisha mnara,+ akalikodisha kwa wakulima,+ kisha akasafiri kwenda ng’ambo.+ Luka 20:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndipo akaanza kuwaambia watu mfano huu: “Mtu alipanda shamba la mizabibu+ akalikodisha kwa wakulima, naye akasafiri kwenda ng’ambo kwa muda mrefu.+
12 Pia, akaanza kusema nao kwa kutumia mifano: “Mtu alipanda shamba la mizabibu,+ akaweka ua kulizunguka, akachimba shimo la mtungi wa shinikizo la divai, akasimamisha mnara,+ akalikodisha kwa wakulima,+ kisha akasafiri kwenda ng’ambo.+
9 Ndipo akaanza kuwaambia watu mfano huu: “Mtu alipanda shamba la mizabibu+ akalikodisha kwa wakulima, naye akasafiri kwenda ng’ambo kwa muda mrefu.+