33 “Sikilizeni mfano mwingine: Kulikuwa na mtu, mwenye nyumba,+ aliyepanda shamba la mizabibu, akaweka ua kulizunguka, akachimba shinikizo la divai ndani yake, akasimamisha mnara,+ akalikodisha kwa wakulima, kisha akasafiri kwenda ng’ambo.+
12Pia, akaanza kusema nao kwa kutumia mifano: “Mtu alipanda shamba la mizabibu,+ akaweka ua kulizunguka, akachimba shimo la mtungi wa shinikizo la divai, akasimamisha mnara,+ akalikodisha kwa wakulima,+ kisha akasafiri kwenda ng’ambo.+