Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 80:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Ulifanya mzabibu uondoke Misri.+

      Ukaendelea kuyafukuza mataifa, ili uupande.+

  • Wimbo wa Sulemani 8:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Kulikuwa na shamba la mizabibu+ ambalo Sulemani alikuwa nalo katika Baal-hamoni. Aliwapa watunzaji+ hilo shamba la mizabibu. Kila mmoja alikuwa akileta vipande elfu moja vya fedha kwa ajili ya matunda yake.

  • Isaya 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Tafadhali, acha nimwimbie mpenzi wangu wimbo wa mpenzi wangu kuhusu shamba lake la mizabibu.+ Palikuwa na shamba la mizabibu ambalo mpenzi wangu alikuwa nalo kando ya kilima chenye kuzaa sana.

  • Yeremia 2:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Lakini mimi nilikuwa nimekupanda kama mzabibu bora mwekundu,+ wote ukiwa mbegu ya kweli. Basi ni jinsi gani umebadilika kunielekea ukawa machipukizi yaliyoharibika ya mzabibu wa kigeni?’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki