7 Kwa maana shamba la mizabibu+ la Yehova wa majeshi ni nyumba ya Israeli, na watu wa Yuda ndilo shamba alilolipenda.+ Naye akaendelea kutumaini hukumu+ ifanywe, lakini, tazama! ikawa ni kuvunjwa kwa sheria; kutumaini uadilifu ufanywe, lakini, tazama! ikawa ni kilio.”+