Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa maana shamba la mizabibu+ la Yehova wa majeshi ni nyumba ya Israeli, na watu wa Yuda ndilo shamba alilolipenda.+ Naye akaendelea kutumaini hukumu+ ifanywe, lakini, tazama! ikawa ni kuvunjwa kwa sheria; kutumaini uadilifu ufanywe, lakini, tazama! ikawa ni kilio.”+

  • Yeremia 2:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Lakini mimi nilikuwa nimekupanda kama mzabibu bora mwekundu,+ wote ukiwa mbegu ya kweli. Basi ni jinsi gani umebadilika kunielekea ukawa machipukizi yaliyoharibika ya mzabibu wa kigeni?’+

  • Ezekieli 19:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “ ‘Mama yako+ alikuwa kama mzabibu katika damu yako,+ uliopandwa kando ya maji. Akawa mwenye kuzaa matunda na mwenye kujaa matawi kwa sababu ya maji mengi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki