15 Je, utaendelea kutawala kwa sababu unashindana kwa kutumia mierezi? Naye baba yako, je, hakula na kunywa na kutekeleza haki na uadilifu?+ Kwa hiyo alifanikiwa.+
8 Ee mtu wa udongo, yeye amekuambia yaliyo mema.+ Na Yehova anataka nini kutoka kwako ila kutenda haki+ na kupenda fadhili+ na kuwa na kiasi+ katika kutembea na Mungu wako?+