Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 80:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Ulifanya mzabibu uondoke Misri.+

      Ukaendelea kuyafukuza mataifa, ili uupande.+

  • Isaya 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Tafadhali, acha nimwimbie mpenzi wangu wimbo wa mpenzi wangu kuhusu shamba lake la mizabibu.+ Palikuwa na shamba la mizabibu ambalo mpenzi wangu alikuwa nalo kando ya kilima chenye kuzaa sana.

  • Ezekieli 15:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mwana wa binadamu, mzabibu+ hutofautianaje na kila mti mwingine, hilo chipukizi, ambalo limekuja kuwa kati ya miti ya msituni?

  • Ezekieli 17:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nayo ikaanza kuchipuka na hatua kwa hatua ikawa mzabibu wenye majani mengi na ulio mfupi,+ wenye mwelekeo wa kugeuza majani yake kuelekea ndani; nayo mizizi yake, hatua kwa hatua ikaja kuwa chini yake. Nao mwishowe ukawa mzabibu, ukazaa machipukizi na kutokeza matawi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki