6 Nayo ikaanza kuchipuka na hatua kwa hatua ikawa mzabibu wenye majani mengi na ulio mfupi,+ wenye mwelekeo wa kugeuza majani yake kuelekea ndani; nayo mizizi yake, hatua kwa hatua ikaja kuwa chini yake. Nao mwishowe ukawa mzabibu, ukazaa machipukizi na kutokeza matawi.+