Ezekieli 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi ikachipuka na kuwa mzabibu mfupi, unaotambaa,+ wenye majani yanayotazama ndani na mizizi inayokua chini yake. Kwa hiyo ukawa mzabibu, ukatokeza machipukizi na kuota matawi.+
6 Basi ikachipuka na kuwa mzabibu mfupi, unaotambaa,+ wenye majani yanayotazama ndani na mizizi inayokua chini yake. Kwa hiyo ukawa mzabibu, ukatokeza machipukizi na kuota matawi.+