Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Kwa maana mzabibu wao unatoka katika mzabibu wa Sodoma

      Na kutoka katika matuta ya Gomora.+

      Zabibu zao ni zabibu za sumu,

      Vishada vyao ni vichungu.+

  • Zaburi 80:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Ulifanya mzabibu uondoke Misri.+

      Ukaendelea kuyafukuza mataifa, ili uupande.+

  • Isaya 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Tafadhali, acha nimwimbie mpenzi wangu wimbo wa mpenzi wangu kuhusu shamba lake la mizabibu.+ Palikuwa na shamba la mizabibu ambalo mpenzi wangu alikuwa nalo kando ya kilima chenye kuzaa sana.

  • Marko 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Pia, akaanza kusema nao kwa kutumia mifano: “Mtu alipanda shamba la mizabibu,+ akaweka ua kulizunguka, akachimba shimo la mtungi wa shinikizo la divai, akasimamisha mnara,+ akalikodisha kwa wakulima,+ kisha akasafiri kwenda ng’ambo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki