Kutoka 15:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Utawaleta na kuwapanda katika mlima wa urithi wako,+Mahali palipofanywa imara ambapo umetayarisha ili ukae,+ Ee Yehova,Patakatifu,+ Ee Yehova, ambapo mikono yako imepafanya imara. Zaburi 147:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehova anawafurahia wale wanaomwogopa,+Wale wanaozingojea fadhili zake zenye upendo.+ Zaburi 149:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana Yehova anawafurahia watu wake.+Anawarembesha wapole kwa wokovu.+
17 Utawaleta na kuwapanda katika mlima wa urithi wako,+Mahali palipofanywa imara ambapo umetayarisha ili ukae,+ Ee Yehova,Patakatifu,+ Ee Yehova, ambapo mikono yako imepafanya imara.