Kumbukumbu la Torati 4:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Na Yehova akaniwakia hasira kwa sababu yenu,+ hivi kwamba akaapa kwamba sitavuka Yordani wala kuingia katika ile nchi nzuri ambayo Yehova Mungu wako anakupa iwe urithi wako.+ Zaburi 44:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wewe mwenyewe kwa mkono wako uliwafukuzia mbali mataifa,+Nawe ukawapanda hao badala yao.+Ukavunja vikundi vya mataifa na kuwafukuza.+ Zaburi 78:54 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 54 Naye akawaleta katika eneo lake takatifu,+Eneo hili lenye milima ambalo mkono wake wa kuume ulijipatia.+ Zaburi 80:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ulifanya mzabibu uondoke Misri.+Ukaendelea kuyafukuza mataifa, ili uupande.+
21 “Na Yehova akaniwakia hasira kwa sababu yenu,+ hivi kwamba akaapa kwamba sitavuka Yordani wala kuingia katika ile nchi nzuri ambayo Yehova Mungu wako anakupa iwe urithi wako.+
2 Wewe mwenyewe kwa mkono wako uliwafukuzia mbali mataifa,+Nawe ukawapanda hao badala yao.+Ukavunja vikundi vya mataifa na kuwafukuza.+
54 Naye akawaleta katika eneo lake takatifu,+Eneo hili lenye milima ambalo mkono wake wa kuume ulijipatia.+