Zaburi 80:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ulifanya mzabibu uondoke Misri.+Ukaendelea kuyafukuza mataifa, ili uupande.+ Yeremia 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wachungaji+ wengi wameliharibu shamba langu la mizabibu;+ wamelikanyaga fungu langu.+ Fungu langu linalotamanika+ wameligeuza kuwa nyika ya mahame yenye ukiwa. Luka 20:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndipo akaanza kuwaambia watu mfano huu: “Mtu alipanda shamba la mizabibu+ akalikodisha kwa wakulima, naye akasafiri kwenda ng’ambo kwa muda mrefu.+
10 Wachungaji+ wengi wameliharibu shamba langu la mizabibu;+ wamelikanyaga fungu langu.+ Fungu langu linalotamanika+ wameligeuza kuwa nyika ya mahame yenye ukiwa.
9 Ndipo akaanza kuwaambia watu mfano huu: “Mtu alipanda shamba la mizabibu+ akalikodisha kwa wakulima, naye akasafiri kwenda ng’ambo kwa muda mrefu.+