Ezekieli 19:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mama yako alikuwa kama mzabibu+ katika damu yako,* uliopandwa kando ya maji. Ukazaa matunda na kujaa matawi kwa sababu ya maji mengi. Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 19:10 Mnara wa Mlinzi,9/15/1988, kur. 18-19
10 Mama yako alikuwa kama mzabibu+ katika damu yako,* uliopandwa kando ya maji. Ukazaa matunda na kujaa matawi kwa sababu ya maji mengi.