Hesabu 24:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yameenea mbali kama mabonde ya mto,+Kama bustani kando ya mto.+Kama mimea ya udi ambayo Yehova amepanda,Kama mierezi kando ya maji.+ Kumbukumbu la Torati 8:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Yehova Mungu wako anakuleta katika nchi nzuri,+ nchi yenye mabonde ya mito yenye maji, mabubujiko na vilindi vya maji kutoka katika nchi tambarare ya bonde+ na katika eneo lenye milima,
6 Yameenea mbali kama mabonde ya mto,+Kama bustani kando ya mto.+Kama mimea ya udi ambayo Yehova amepanda,Kama mierezi kando ya maji.+
7 Kwa maana Yehova Mungu wako anakuleta katika nchi nzuri,+ nchi yenye mabonde ya mito yenye maji, mabubujiko na vilindi vya maji kutoka katika nchi tambarare ya bonde+ na katika eneo lenye milima,