Zaburi 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye hakika atakuwa kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji,+Ambao hutoa matunda yake katika majira yake+Na ambao majani yake hayanyauki,+Na kila jambo analofanya litafanikiwa.+ Zaburi 92:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mwadilifu atachanua kama mtende;+Kama mwerezi katika Lebanoni, atakuwa mkubwa.+ Yeremia 17:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na hakika yeye atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji, unaopeleka mizizi yake kando ya mto; naye hataona joto linapoingia, bali kwa kweli majani yake yatakuwa mengi.+ Na katika mwaka wa ukame+ hatahangaika, wala hataacha kuzaa matunda.
3 Naye hakika atakuwa kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji,+Ambao hutoa matunda yake katika majira yake+Na ambao majani yake hayanyauki,+Na kila jambo analofanya litafanikiwa.+
8 Na hakika yeye atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji, unaopeleka mizizi yake kando ya mto; naye hataona joto linapoingia, bali kwa kweli majani yake yatakuwa mengi.+ Na katika mwaka wa ukame+ hatahangaika, wala hataacha kuzaa matunda.