Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Naye hakika atakuwa kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji,+

      Ambao hutoa matunda yake katika majira yake+

      Na ambao majani yake hayanyauki,+

      Na kila jambo analofanya litafanikiwa.+

  • Zaburi 92:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mwadilifu atachanua kama mtende;+

      Kama mwerezi katika Lebanoni, atakuwa mkubwa.+

  • Yeremia 17:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na hakika yeye atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji, unaopeleka mizizi yake kando ya mto; naye hataona joto linapoingia, bali kwa kweli majani yake yatakuwa mengi.+ Na katika mwaka wa ukame+ hatahangaika, wala hataacha kuzaa matunda.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki