Hesabu 24:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yameenea mbali kama mabonde,+Kama bustani kando ya mto,Kama mimea ya udi iliyopandwa na Yehova,Kama mierezi kando ya maji. Hesabu Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 24:6 Mnara wa Mlinzi,2/1/2014, uku. 10
6 Yameenea mbali kama mabonde,+Kama bustani kando ya mto,Kama mimea ya udi iliyopandwa na Yehova,Kama mierezi kando ya maji.