32 Hao ndio watu walioandikishwa wa wana wa Israeli kulingana na nyumba ya baba zao; wote walioandikishwa wa kambi hizo kwa majeshi yao walikuwa 603,550.+
11 ‘Tazama! Watu wanaotoka Misri, nao wanaifunika dunia kufikia upeo wa macho.+ Sasa njoo, uwalaani kwa ajili yangu.+ Huenda nitaweza kupigana nao na kuwafukuza.’”