26 Ile nusu shekeli kwa ajili ya mtu mmoja ilikuwa nusu shekeli kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, kwa kila mtu aliyekuwa akipita kuingia upande wa wale waliokuwa wameandikishwa kuanzia miaka 20 na zaidi,+ jumla ya watu 603,550.+
21 Ndipo Musa akasema: “Watu nilio katikati yao ni wanaume mia sita elfu+ wanaotembea kwa miguu, hata hivyo wewe—wewe umesema, ‘Nitawapa nyama, nao hakika watakula kwa mwezi mzima’!
29 Katika nyika hii mizoga yenu itaanguka,+ naam, wote kati ya hesabu yenu ya walioandikishwa kuanzia miaka 20 na zaidi, ninyi ambao mmenung’unika juu yangu.+