Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 15:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ndipo akamtoa nje na kusema: “Tafadhali, tazama juu mbinguni uzihesabu nyota, ikiwa unaweza kuzihesabu.”+ Naye akaendelea kumwambia: “Ndivyo utakavyokuwa uzao wako.”+

  • Kutoka 12:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Na wana wa Israeli wakaondoka Ramesesi+ kuelekea Sukothi,+ kufikia hesabu ya wanaume mia sita elfu wanaotembea kwa miguu, bila kuhesabu watoto.+

  • Kutoka 38:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ile nusu shekeli kwa ajili ya mtu mmoja ilikuwa nusu shekeli kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, kwa kila mtu aliyekuwa akipita kuingia upande wa wale waliokuwa wameandikishwa kuanzia miaka 20 na zaidi,+ jumla ya watu 603,550.+

  • Hesabu 1:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 naam, wale wote walioandikishwa wakawa 603,550.+

  • Hesabu 11:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ndipo Musa akasema: “Watu nilio katikati yao ni wanaume mia sita elfu+ wanaotembea kwa miguu, hata hivyo wewe—wewe umesema, ‘Nitawapa nyama, nao hakika watakula kwa mwezi mzima’!

  • Hesabu 14:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Katika nyika hii mizoga yenu itaanguka,+ naam, wote kati ya hesabu yenu ya walioandikishwa kuanzia miaka 20 na zaidi, ninyi ambao mmenung’unika juu yangu.+

  • Hesabu 26:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Hawa ndio walioandikishwa kati ya wana wa Israeli: 601,730.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki