Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 38:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ile nusu shekeli kwa ajili ya mtu mmoja ilikuwa nusu shekeli kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, kwa kila mtu aliyekuwa akipita kuingia upande wa wale waliokuwa wameandikishwa kuanzia miaka 20 na zaidi,+ jumla ya watu 603,550.+

  • Hesabu 1:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 naam, wale wote walioandikishwa wakawa 603,550.+

  • Hesabu 1:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 “Ni kabila la Lawi tu ambalo hutaandikisha, na hesabu yao usiichukue kati ya wana wa Israeli.+

  • Hesabu 2:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Hao ndio watu walioandikishwa wa wana wa Israeli kulingana na nyumba ya baba zao; wote walioandikishwa wa kambi hizo kwa majeshi yao walikuwa 603,550.+

  • Hesabu 14:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Katika nyika hii mizoga yenu itaanguka,+ naam, wote kati ya hesabu yenu ya walioandikishwa kuanzia miaka 20 na zaidi, ninyi ambao mmenung’unika juu yangu.+

  • Nehemia 9:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na wana wao ukawafanya kuwa wengi kama nyota za mbinguni.+ Kisha ukawaleta katika nchi+ ambayo ulikuwa umewaahidi mababu zao+ kwamba wanapaswa waingie na kuimiliki.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki