Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ndipo Yehova akamtokea Abramu na kusema: “Nitaupa uzao wako+ nchi hii.”+ Baada ya hayo akajenga madhabahu huko kwa ajili ya Yehova, aliyekuwa amemtokea.

  • Mwanzo 15:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Siku hiyo Yehova akafanya agano na Abramu,+ akisema: “Nitaupatia uzao wako nchi hii,+ kutoka mto wa Misri mpaka ule mto mkubwa, mto Efrati:+

  • Mwanzo 17:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nami nitakupa wewe na uzao wako baada yako ile nchi ya makao yako ya kigeni,+ naam, nchi yote ya Kanaani, ili kuimiliki hata wakati usio na kipimo; nami nitajionyesha mwenyewe kuwa Mungu kwao.”+

  • Mwanzo 26:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kaa ukiwa mgeni katika nchi hii,+ nami nitaendelea kuwa pamoja nawe na kukubariki, kwa sababu nitakupa wewe na uzao wako nchi zote hizi,+ nami nitaitimiza ahadi yenye kiapo ambayo nilimwapia Abrahamu baba yako,+

  • Kumbukumbu la Torati 9:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Hutaimiliki nchi yao kwa sababu ya uadilifu+ wako wala kwa sababu ya unyoofu wa moyo wako;+ kwa kweli, Yehova anayafukuzia mbali mataifa haya kutoka mbele yako+ kwa sababu ya uovu wao, na ili kulitimiza neno ambalo Yehova aliwaapia mababu zako, Abrahamu,+ Isaka+ na Yakobo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki