Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 8:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 “Nao wakikutendea dhambi+ (kwa sababu hakuna mwanadamu asiyetenda dhambi),+ nawe uwakasirikie na kuwatia mkononi mwa adui, na wenye kuwateka wawachukue mateka na kuwapeleka katika nchi ya adui iliyo mbali au iliyo karibu;+

  • Zaburi 51:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Tazama! Nilizaliwa kwa maumivu nikiwa na kosa,+

      Na mama yangu alinichukua mimba katika dhambi.+

  • Waroma 3:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa maana wote wamefanya dhambi+ na kupungukiwa na utukufu wa Mungu,+

  • Waroma 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Hiyo ndiyo sababu, kama vile kupitia mtu mmoja+ dhambi iliingia katika ulimwengu na kifo+ kupitia dhambi, na hivyo kifo kikaenea kwa watu wote kwa sababu wote walikuwa wamefanya dhambi+​—​.

  • Tito 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 si kutokana na matendo yoyote+ ya uadilifu ambayo tulikuwa tumefanya,+ bali kulingana na rehema+ yake alituokoa kupitia kuoshwa+ kulikotuleta kwenye uzima+ na kupitia kutufanya sisi kuwa wapya kwa roho takatifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki