15 Lakini sivyo ilivyo kwa ile zawadi kama ilivyokuwa kwa lile kosa. Kwa maana ikiwa kwa kosa la mtu mmoja wengi walikufa, fadhili zisizostahiliwa za Mungu na zawadi yake ya bure ikiwa pamoja na fadhili zisizostahiliwa kupitia mtu mmoja+ Yesu Kristo zilizidi sana kwa wengi.+
21 Kwa kusudi gani? Kwamba, kama vile dhambi ilivyotawala kama mfalme pamoja na kifo,+ vivyo hivyo pia fadhili zisizostahiliwa+ zitawale kama mfalme kupitia uadilifu kwa tazamio la uzima wa milele+ kupitia Yesu Kristo Bwana wetu.
22 Kwa hiyo, ona fadhili+ na ukali+ wa Mungu. Kuna ukali kuwaelekea wale walioanguka,+ lakini kuna fadhili za Mungu kukuelekea wewe, ila tu ukae+ katika fadhili zake; kama sivyo, wewe pia utakatwa.+