Mathayo 25:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Nanyi mtupeni nje katika giza mtumwa huyo asiyefaa kitu. Huko ndiko atalia na kusaga meno yake.’+ Mathayo 25:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Na hawa watakatiliwa mbali milele,+ lakini waadilifu wataingia katika uzima wa milele.”+