Zaburi 112:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwovu ataona na hakika atakasirika.+ ש [Shin]Atasaga meno yake na kuyeyuka.+ ת [Taw]Tamaa ya waovu itaangamia.+ Mathayo 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 lakini wana wa ufalme+ watatupwa nje katika giza. Nao watalia na kusaga meno yao huko.”+
10 Mwovu ataona na hakika atakasirika.+ ש [Shin]Atasaga meno yake na kuyeyuka.+ ת [Taw]Tamaa ya waovu itaangamia.+