Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Yesu akajibu: “Kwa kweli kabisa ninakuambia, Mtu asipozaliwa kwa maji+ na roho,+ hawezi kuingia katika ufalme wa Mungu.

  • Waroma 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana wote wanaoongozwa na roho ya Mungu, hao ndio wana wa Mungu.+

  • Waroma 8:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Si hilo tu, bali sisi wenyewe pia tulio na matunda ya kwanza,+ yaani, ile roho, ndiyo, sisi wenyewe tunaugua+ ndani yetu wenyewe, huku tukingojea kwa bidii kufanywa kuwa wana,+ kuachiliwa huru kutoka katika miili yetu kwa njia ya fidia.

  • 2 Wakorintho 5:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Basi ikiwa yeyote yuko katika muungano na Kristo, yeye ni kiumbe kipya;+ mambo ya zamani yalipitilia mbali,+ tazama! mambo mapya yamekuja kuwako.+

  • Waebrania 6:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana haiwezekani kamwe kwa habari ya wale ambao wametiwa nuru+ mara moja kwa wakati wote, na ambao wameonja zawadi ya bure+ ya kimbingu, na ambao wamekuwa washiriki wa roho takatifu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki