Wagalatia 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 ili awaachilie huru kwa kuwanunua+ wale walio chini ya sheria,+ ili sisi nasi tufanywe kuwa wana.+ Waefeso 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana alituagiza kimbele+ ili tufanywe kuwa wana+ kwake kupitia Yesu Kristo,+ kulingana na upendezi mwema wa mapenzi yake,+ 1 Petro 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 kwenye urithi usioharibika na usiotiwa unajisi na usiofifia.+ Huo umewekwa akiba mbinguni kwa ajili yenu,+ Ufunuo 21:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yeyote anayeshinda atarithi vitu hivi, nami nitakuwa Mungu wake+ naye atakuwa mwanangu.+
5 Kwa maana alituagiza kimbele+ ili tufanywe kuwa wana+ kwake kupitia Yesu Kristo,+ kulingana na upendezi mwema wa mapenzi yake,+
4 kwenye urithi usioharibika na usiotiwa unajisi na usiofifia.+ Huo umewekwa akiba mbinguni kwa ajili yenu,+