Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 1:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Hata hivyo, wengi kadiri ileile waliompokea,+ aliwapa mamlaka ya kuwa watoto wa Mungu,+ kwa sababu walikuwa wakionyesha imani katika jina lake;+

  • Yohana 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Yesu akajibu: “Kwa kweli kabisa ninakuambia, Mtu asipozaliwa kwa maji+ na roho,+ hawezi kuingia katika ufalme wa Mungu.

  • Yohana 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Upepo+ huvuma mahali ambapo unataka, nawe unasikia mvumo wake, lakini hujui mahali ambapo huo unatoka wala mahali unapoenda. Ndivyo alivyo kila mtu ambaye amezaliwa kwa roho.”+

  • Waebrania 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana yeye anayetakasa na wale wanaotakaswa+ pia wote hutokana na mmoja,+ na kwa sababu hii yeye haoni aibu kuwaita “ndugu,”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki