Yohana 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hata hivyo, wengi kadiri ileile waliompokea,+ aliwapa mamlaka ya kuwa watoto wa Mungu,+ kwa sababu walikuwa wakionyesha imani katika jina lake;+ Yohana 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yesu akajibu: “Kwa kweli kabisa ninakuambia, Mtu asipozaliwa kwa maji+ na roho,+ hawezi kuingia katika ufalme wa Mungu. Yohana 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Upepo+ huvuma mahali ambapo unataka, nawe unasikia mvumo wake, lakini hujui mahali ambapo huo unatoka wala mahali unapoenda. Ndivyo alivyo kila mtu ambaye amezaliwa kwa roho.”+ Waebrania 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana yeye anayetakasa na wale wanaotakaswa+ pia wote hutokana na mmoja,+ na kwa sababu hii yeye haoni aibu kuwaita “ndugu,”+
12 Hata hivyo, wengi kadiri ileile waliompokea,+ aliwapa mamlaka ya kuwa watoto wa Mungu,+ kwa sababu walikuwa wakionyesha imani katika jina lake;+
5 Yesu akajibu: “Kwa kweli kabisa ninakuambia, Mtu asipozaliwa kwa maji+ na roho,+ hawezi kuingia katika ufalme wa Mungu.
8 Upepo+ huvuma mahali ambapo unataka, nawe unasikia mvumo wake, lakini hujui mahali ambapo huo unatoka wala mahali unapoenda. Ndivyo alivyo kila mtu ambaye amezaliwa kwa roho.”+
11 Kwa maana yeye anayetakasa na wale wanaotakaswa+ pia wote hutokana na mmoja,+ na kwa sababu hii yeye haoni aibu kuwaita “ndugu,”+