5 Kwa hiyo, yeye anayewapa ninyi roho+ na kufanya matendo yenye nguvu+ katikati yenu, je, yeye hufanya hivyo kutokana na matendo ya sheria au kutokana na kusikia kwa njia ya imani?
4 huku Mungu akijiunga katika kutoa ushahidi kwa ishara na vilevile mambo ya ajabu na matendo mbalimbali yenye nguvu+ na kwa ugawaji+ wa roho takatifu kulingana na mapenzi yake?+