Mwanzo 1:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kisha Mungu akaona kila kitu alichokuwa amefanya na, tazama! kilikuwa chema sana.+ Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya sita. Isaya 64:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nasi tunakuwa kama mtu asiye safi, sisi sote, na matendo yetu yote ya uadilifu ni kama vazi la vipindi vya hedhi;+ nasi tutafifia kama majani,+ sisi sote, na makosa yetu yatatuchukua kama upepo.+
31 Kisha Mungu akaona kila kitu alichokuwa amefanya na, tazama! kilikuwa chema sana.+ Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya sita.
6 Nasi tunakuwa kama mtu asiye safi, sisi sote, na matendo yetu yote ya uadilifu ni kama vazi la vipindi vya hedhi;+ nasi tutafifia kama majani,+ sisi sote, na makosa yetu yatatuchukua kama upepo.+