Waroma 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 kama ilivyoandikwa: “Hakuna mwanadamu mwadilifu, hakuna hata mmoja;+ Wagalatia 3:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa hiyo, je, Sheria inapinga ahadi za Mungu?+ Hilo na lisitendeke kamwe! Kwa maana kama ingalitolewa sheria inayoweza kutoa uhai,+ kwa kweli uadilifu ungalikuwa kwa njia ya sheria.+
21 Kwa hiyo, je, Sheria inapinga ahadi za Mungu?+ Hilo na lisitendeke kamwe! Kwa maana kama ingalitolewa sheria inayoweza kutoa uhai,+ kwa kweli uadilifu ungalikuwa kwa njia ya sheria.+