Wimbo wa Sulemani 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Sulemani alikuwa na shamba la mizabibu+ kule Baal-hamoni. Aliwakabidhi watunzaji shamba hilo la mizabibu. Kila mmoja wao alikuwa akileta vipande elfu moja vya fedha kwa ajili ya matunda yake.
11 Sulemani alikuwa na shamba la mizabibu+ kule Baal-hamoni. Aliwakabidhi watunzaji shamba hilo la mizabibu. Kila mmoja wao alikuwa akileta vipande elfu moja vya fedha kwa ajili ya matunda yake.