- 
	                        
            
            Ezekieli 20:21Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
21 “ ‘ “Na hao wana wakaanza kuniasi.+ Hawakutembea katika sheria zangu, nayo maamuzi yangu ya hukumu hawakuendelea kuyashika kwa kuyafanya, ambayo, kama mtu akiendelea kuyafanya, ataendelea pia kuishi kwa hayo.+ Sabato zangu walizitia unajisi.+ Kwa hiyo nikaahidi kumwaga ghadhabu yangu juu yao, ili kuitimiliza hasira yangu juu yao nyikani.+
 
 -