21 “‘“Lakini wana hao wakaanza kuniasi.+ Hawakutembea katika amri zangu, nao hawakushika wala kufuata sheria zangu, ambazo mtu akizifuata, atapata uzima kupitia hizo. Walizitia unajisi sabato zangu. Basi nikaahidi kuwamwagia ghadhabu yangu, na kuwaletea hasira yangu yote nyikani.+